May 14, 2016

Mzee Kikwete Pumzika Sasa, Mpe Nafasi Magufuli

Salaam,
Naheshimu sana uamuzi wa hekima wa kutong'ang'ania madaraka ya kuendelea kuongoza taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanywa na mzee wetu Dr Jakaya Kikwete..Angeliweza kabisa kutumia nguvu ya dola/Nguvu ya ushawishi kwenye chama/Kofia zake zote za kimamlaka kubadiri katiba ili kuongeza vipindi vingine vya kuongoza lakini hakuthubutu kufanya japo kauli za watu fulani fulani kutaka aendelee zilikuwapo huku na kule kama ambavyo zilikuwapo wakati wa Hayati Mwl J.K.Nyerere,Alhaji Mzee A.H.Mwinyi na Hatimae Mzee B.W.Mkapa.

Si kazi rahisi kuachia enzi kuu kama ya urais wa nchi yenye vinono vya kiuongozi japo pia ni mzigo mzito mnoo.Rais wa JMT ana mamlaka makubwa sana tena sana kikatiba yahusuyo mamlaka,nguvu na uweza wa utendaji kazi zikiwepo amri,teuzi,maelekezo,kukata majina/kupitisha majina ya wanaotakiwa ama wasiotakiwa na taifa/nchi kiuongozi n.k.Umaarufu wa Dr. Jakaya Kikwete ndani na nje ya mipaka ya JMT si wa kubezwa kuzingatia ya kuwa ni juzi juzi tu alikuwa madarakani kama raia namba moja wa taifa lenye kuinuka katika nyanja nyingi za kifulsa,rasilimali {madini,mafuta,gesi,etc} na wingi wa ukarimu kwa wawekezaji na wageni mbalimbali.

Taratibu Mh. Rais JPM ameanza kuchomoza katika shughuri za kitaifa na kiplomasia kimataifa kwa kushiriki matukio ya kitaifa katika nchi jirani kama Rwanda kisha Uganda yamkini baadae Kenya n.k n.k. Haiba ya kisiasa hujiweka wazi kwa sasa mahari wanapokutana mh. Rais JPM na Mh.Dr. Kikwete kama ambavyo imejitokeza nchini Uganda{Hekima itumike kulielewa hili}.Dr.J.Kikwete bado amekuwa na mwonekano rasmi kana kwamba bado ni rais wa JMT na hili limekuwa likijidhihirisha maeneo kadhaa anakopita ama kunena jambo lenye mguso wa kimamlaka {Mfano:Alipotembelea daraja la Nyerere,n.k}.

Kwa desturi tumeshuhudia na tulishuhudia ukimya na utulivu mkubwa ktk tamalaki ya kimamlaka pale Mzee Mwinyi alipomwachia madaraka Mzee Mkapa,Vivo hivyo Mzee Mkapa alipomwachia madaraka Mzee Kikwete.Kwamba ilifika wakati Mzee Mkapa alikataa baadhi ya miariko/Ushiriki wa matukio/n.k kuepuka kuikwadha serikali {Rais} aliepo madarakani

Nadhani Mh. JPM na Serikali yake anapaswa kupewa nafasi pana zaidi katika kutekeleza/kujiachia/kujinafasi kiuongozi na majukumu yake yakinifu kimadaraka.Hivyo ni ushauri kwa marais waliomaliza vipindi vyao,waliostaafu kuwa wakimya,watulivu,wapole,ikibidi kujichimbia mahari ambako awatavuta attention ya namna yeyote kuepusha mgongano wa nguvu/mwangwi/vigelegele vya madaraka.

Yawezekana nakashindwa kueleweka kwa baadhi ya wabobezi ktk uandishi ulionyooka,hata hivyo nina imani kubwa ujumbe wangu yawekekana umeeleweka

By Mwanamichakato

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger