fifa
Timu ya Argentina inaendelea kushika namba moja kama timu bora zaidi duniani huku ikiwa na pointi 1585 ikifuatiwa na Ubelgiji (1401), Colombia (1331), Ujerumani (1319) na nafasi ya tano imechukuliwa na Chile yenye pointi 1316.
Kwa upande wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeshuka kwa nafasi moja kutoka 123 mpaka nafasi ya 124 na imefanikiwa kupata pointi 300 ikishika nafasi ya tano kwa nchi za Afrika Mashariki ikiongozwa na Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi.
Aidha viwango hivyo vimeonyesha kuwa kwa Afrika timu ya taifa ya Algeria ndiyo inaongoza ikiwa nafasi ya 32 huku ikiwa na pointi 781 ikifuatiwa na Ghana, Ivory Coast na Senegal ikishika nafasi ya nne.
LIST NZIMA BONYEZA HAPA
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment