Akizungumza na Chanel ten majira ya Asubuhi Afisa Mwajiri ya kampuni hiyo ya Usafirishaji Solomon Mahogo amesema moto huo ambao umeteketeza mali nyingi ulifanikiwa kudhibitiwa saa nane Usiku kutokana na Changamoto ya Kuishiwa maji magari ya halmashauri ya jiji yaliokuwa katika kazi ya Kuzima moto huo.
Aidha amesema pamoja na Kuwapo vifaa vingi vya kuzimia moto katika eneo hilo ambalo pia kuna Visima vya mafuta bado kuna hitajika kazi ya ziada katika kupambana na majanga ya moto ikiwemo kuwapo vifaa vya kisasa vya kudhibiti moto
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment