
Serikali ya Marekani imekubali kuipatia Tanzani zaidi ya dola za Marekani milioni 407 kama msaada.
Ubalozi wa Marekani umesema pesa hizo zimetolewa ili kusaidia Tanzania katika nyanja za afya, kilimo, elimu, utunzaji wa maliasili, nishati na utawala wa kidemokrasia.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:


0 [disqus]:
Post a Comment