Alisema bodi hiyo itakapokaa na kurudisha majibu kwake atafanya maamuzi likiwamo suala la uteuzi wa mkurugenzi wa taasisi hiyo, akisema imekaimiwa kwa kipindi kirefu na sasa ni wakati wa kumpata wa kuishikilia.
“Kitu kinachonisumbua kichwa kwa sasa ni kuhusiana na kambi za upasuaji, naomba zianze kazi mara moja, wanaoteseka ni wananchi wa hali ya chini maana baada ya kufutwa kambi za upasuaji ikaanzishwa kambi ya upasuaji wa watu wanaolipia, wasiojiweza wanahudumiwa vipi?” alihoji.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment