Akikabidhi msaada huo leo, Karumuna amesema kuwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Lowassa jana kutokana na uamuzi wa Chadema.
Tukio hilo limeshuhudiwa na Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare ambaye amesema kwa sasa wananchi wanahitaji msaada na hivyo hakuna sababu ya kuwa na malumbano kwa sababu yoyote.
Jenerali Kijuu ameueleza ujumbe huo kuwa anatumikia wananchi wote kwa usawa bila kuangalia misimamo yao ya vyama na kutoa wito wa wadau wengine kujitokeza kutoa misaada zaidi.
Mwananchi
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment