Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi kwenye mitoko tofauti na kujulikana kuwa wapo tena mapenzini, mabadiliko yalianza kuonekana 0ct 11 2016 ambapo mrembo Rihanna alionekana peke yake akiwa anaelekea club na sio kawaida mrembo huyo kuwa peke yake bila Drake, Enews imeripoti kuwa Drake kwasasa anaonekana kuwa na mrembo mwingine Model ‘India Love’ ambae ametajwa kuwa ni ex wa Rapper ‘The Game’.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment