
MAREKANI: Maafisa 10 wastaafu wa kitengo cha ulipuaji wa nyuklia wamepinga Donald Trump kuwa Rais. Wamedai hana utulivu wa kukabidhiwa kifaa cha ulipuaji wa bomu la nyuklia.
Maafisa hao katika barua yao wamesema mtu anayekabidhiwa jukumu hilo zito anatakiwa awe mwenye busara na maamuzi sahihi.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:


0 [disqus]:
Post a Comment