Oct 4, 2016

Rais Kabila: Mizigo yote ya DRC itapitia Bandari ya Dar. Tulisitisha sababu ya urasimu na upotevu

Rais Joseph Kabange Kabila amekuwa na mazungumzo na Rais Magufuli kabla ya kukutana na waandishi wa habari Ikulu Dsm leo.Katika mambo waliyoongea na kuwashirikisha waandishi wa habari ni ushirikiano wa kibiashara,ulinzi na Usalama pamoja na ujirani mwema.

Rais Kabila anasema baada ya maongezi na Rais JPM amejiridhisha sasa kuwa bandari ya Dsm ni salama na ataanza tena kupitisha mizigo yote ya DRC ktk bandari hii,ambayo kwa kipindi fulani walisitisha na kuanza kutumia kwingine kutokana na kodi,urasimu na upotevu wa mizigo.Katika mazungumzo ya leo,Serikali ya Tz imemuhakikishia Rais Kabila kuwa mizigo yote ya DRC itakuwa na "Grace period" ya siku 14 hadi 30 bandarini.

Pia Rais Kabila anasema wamefurahishwa na uamuzi wa Serikali ya Tanzania kupunguza vituo vya ukaguzi wa mizigo itakayokuwa inatoka bandarini kwenda Congo DR,hali hii ya kupunguza vituo vya ukaguzi itarahisisha wafanyabiashara kufikisha mizigo kwa wakati na kupunguza ghalama za usafirishaji.Rais Kabila pia amemuahidi Rais JPM mara afikapo DRC atahakikisha anafanya mabadiliko makubwa ktk Mamlaka ya Kodi ya DRC ambayo imekuwa ikalalamikiwa na wafanyabiashara wengi kutokana na urasimu na ukiritimba unaokuwa kama kikwazo ktk maendeleo ya biashara.

Rais Kabila pia amezungumzia suala la amani mashariki mwa DRC,na kusema hali si kama inavyolipotiwa na vyomba vya habari vya nje,japo kuna vikundi vichache vya uasi vinavyohatarisha usalama wa raia na mali zao.Amerishukuru JWTZ chini ya Umoja wa Mataifa kuendelea kutunza amani ya DRC.

Naye Rais Magufuli alianza kwa kumwambia Rais Kabila "Kuonesha kuwa Tanzania na DRC tuna uhusiano Mzuri nimemwambia Rais Kabila kuwa Watanzania wengi wanapenda Miziki ya Zaire".
image.jpeg
Rais Magufuli akimpa Rais Kabila zawadi ya kinyago cha #UMOJA mgeni wake Ikulu Dsm

Pia Rais Magufuli ameendelea kumuhakikishia Rais Kabila kumpa ushirikiano wa kiulinzi kwa kuwakutanisha viongozi wa vyombo vya ulinza na usalama vya DRC na Tanzania.Rais Magufuli kamshukuru Kabila kurudisha nia yake ya kutumia bandari ya Dsm kwa kupitisha mizigo yake.

Rais Magufuli ameongelea kuwa wamegusia suala la uchaguzi wa DRC ambapo Kabila amemwambia amelipeleka mbele ili kuhakikisha watu wote wanapiga kura,kwani miaka mitano iliyopita kulikuwa na wapiga kura milioni 35 na sasa ni milioni 45,hivyo wanahitaji muda ili kujumuisha wapiga kura wengi ambao wengi wao ni vijana.

Rais Magufuli amewataka raia wote wa DRC walioko kwenye makambi ya wakimbizi Tz,kurudi DRC kujiandikisha na kupiga kura ili kupata viongozi watakaorudisha amani ya nchi yao na kwafanya wao wasiwe wakimbizi ktk nchi za watu.

Katika ziara hii,Mawaziri wa Nishati wa Tanzania na DRC wametiliana sahihi mkataba wa kutafuta mafuta ktk eneo la ziwa Tanganyika.Upatakinaji wa mafuta hayo na hatimaye kuchimbwa utaleta maendeleo na kukuza uchumi wa nchi zote mbili.


Baada ya kuongea na waandishi wa Habari,mchana wa saa nane wataweka jiwe la msingi Bandari ya Dsm na baadae kuwa na dhifa ya kitaifa Ikulu-Dsm

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger