Wakati akiwaapisha wakuu wa wapya wa mikoa, Rais Magufuli aliwaagiza kuhakikisha hadi mwishoni mwa Mei, hakuna mwanafunzi anakaa sakafuni akiwa darasani kwa kukosa madawati.
Afafanua mgawanyo wa madawati alisema shule ya Nakarauwo imepata 50, Loiborsiret (30), Namelock (10) na Kangala madawati 10.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment