Mshtakiwa huyo ambaye ni mkazi wa Temeke amehukumiwa kifungo hicho baada ya kushindwa kuzuia wizi usitokee katika wizara hiyo.
Kusema alisababisha kiti na kompyuta moja viliibiwa katika chumba namba 303 kilichopo katika ofisi za wizara hiyo.
Hakimu Mkazi wa Catherine Kioja alisema mahakama yake imemtia hatiani mshtakiwa huyo baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi wanne waliotoa mahakamani hapo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment