Akili kubwa!!!!!
Na kwamba hakuna mtoa hoja zenye uzito kama yeye kwa sasa bungeni.
Nitabiri tu kuwa huu mchezo hata magufuli amekubali... kwa sasa kilicho bakia ni kujiuliza kuwa ampange wizara gani maana kila mahali anamudu.
Naamini kuwa Magufuli haendeshi serikali kimazoea..... natambuwa pia anayo nafasi moja.
Hata kama sio sasa ni baadae lakini naachia utabiri wangu huyu Kijana ni waziri mtarajuwa wa JPM
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment