Jun 10, 2016

Rais Magufuli Katika Ubora Wake, Ahadi Zimeanza Kutekelezwa

Watu wanasafiri nje ya nchi kila siku wakati watu wanakufa na kipindupindu?.Hakiamungu nikiwa rais mm.......

Ndani ya miezi 6 kipindupindu chaliiiii

Msongamano wa magari dar unalikosesha taifa mapato mengi sana....

Kabla ya miezi sita-magari ya mwendokasi tayari,ni uroda mtupu.

Nitahakikisha inajengwa mahakama maalum kwa mafisadi tu

Ndani ya miezi 3,12b ikatolewa kwa uendeshaji wa mahakama na 2.5b ndani ya miezi sita ujenzi wa mahakama.

Elimu bure drs la 1-12.
Ndani ya miezi miwili tu,sasa watoto wanasongamana madarasani.

Haiwezekani ww mkuu wa mkoa upo alafu watoto wanakaa chini darasani.
Speed ni ya mwendokasi na ni siku takrbani 20 tu zimesalia na kilio hicho kitabaki historia tu.

50M kila kijij kitapata...
Sasa tupo mkao wa kula tutaipokea.

Na mengine mengi ya kubana matumizi ya pesa kama:-
Safari za nje,warsha,makongamano pamoja na semina
Pia kuboresha mishahara ya watumishi na kuwapunguzia makato ya kodi.

Sii hayo tu lkn pia ametumbua majipu kwa kuonesha dhamira ya dhati ya kuichukia rushwa na ufisadi.Na kwahili hata maswahiba wake limewakuta,sina sbabu ya kutonesha makovu.Poleni yaliowakuta kwa namna moja au nyingine.

Huyu kama c mtume bac ni nabii,ni kiongozo wa kipekee kabisa ambaye kama cjakosea,haijawahi kutokea.Amejaribu kumkuna kila mtanzania mnyonge dhidi ya vilio vyetu japo wale majangir na maharamia wa rasilimali zetu wameumia.
Potelea mbali mzee yupo imara sana katika harakati za kulitetea taji la mbingu,hatetereki,hayumbishwi wala hakatishwi tamaa.

Wamemjaribu wengi na kwa mengi sana wakidhani misimamo italegea kumbe ndo kwanza ""akipigwa teke chura,anaongezewa mwendo""

-Mara oooh...jamaa ni dictator...
-Mara oooh...jamaa anabana demokrasia...
-Mara oooh...aliuza nyumba za serikali
-Mara oooh hashauriki...
-Mara oooh...ni nguvu ya soda...
-Mara oooh kajichukulia mamlaka kutumia pesa ya bunge kwa shughuli za maendeleo bila idhin ya bunge...
Ni mengi sana yamesemwa na mengine mtanikumbusha...lakin...
wanaishia kuisoma namba...
Na yote haya hayafanyi kwa kupiga ramli..lah hasha...kumbukeni sisi wenyewe wananchi wanyonge tulishtaki wakati anatuomba kura.

Na hata kwa watani zetu hizi ndo zilikuwa kiki zao za kila cku japo kwa sasa baada ya mzee kujitutumua sasa wao tena wanaanza vijembe.
Lakini binafsi huwa siwashangai maana waliotuhujumu cc na nchi nzima kwa wakati huo,sasa wako upande wao(majina mtajaza)sio kila kitu nimalize.Kumbe nimekubali sasa kwamba ukawa ndio ccm A bila shaka na ccm ndio ccm B bila shaka.Na kwa muktadha huo ni ccmB ya waadilifu inapambana dhidi ya ccmA ya wabadhirifu...
Wataisoma namba!!!
Kwa ujumla sasa hivi watani zetu wapo hoi,kila kunapokucha ni nafuu ya jana.Nahodha wa chombo yuko imara,mawimbi yanakipiga chombo lkn ndo hivo kinazidi kusonga kwa mwendo wa hatareee
Na kwa taarifa,abiria hao wanaotia dhoruba bahari nahodha atawamwaga rasmi kabla chombo hakijafika ufukwe 2020.

CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeee
Magufuli hoyeeeeeeeeeeeeee
Naomba kuwasilisha.



Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger