Huyu dogo anaitwa Yusuph Mohamed Nassor (2), baba yake Mzee Ahmed Nassor (67) amesema wakati ana mwaka mmoja na nusu alisema anataka kuwa Rais hivyo anamuandaa kuja kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2050 kupitia Chama Cha CCM. Yeye na Baba yake wamekuja Dar es Salaam kutoka Singida kwa usafiri wa baiskeli kuja kuonana na Rais Magufuli
Nini maoni yako hapo?
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
AMSOMESHE,AMPE MAADILI MEMA ILI MTOTO AIMARIKE KUWA KIONGOZI BORA.HII INAITWA KUKEREKETWA DAMUNI,MAANA JAMAA HANA MATATIZO YA AKILI.
ReplyDeleteHahahahaha!Tehtehteh!Mpaka 2050 ni CCM tu?Au ndio mtindo wa kupokezana?Nyota njema huonekana asubuhi.
ReplyDeleteMalaika huyo jamani mweeh!hapo upinzani hakuna tena.ccm mbele kwa mbele
ReplyDelete