Dk. Kigwangalla amemtaka kiongozi wa taasisi hiyo, James Wandela Ouma kufika katika ofisi yake akiwa na nyaraka halisi za usajili ikiwemo cheti cha usajili, katiba na orodha ya wanachama, taarifa ya miradi inayotekelezwa na shirika hilo, walengwa wa miradi, wafadhili na wadau wanaoshirikiana nao.
“Ikumbukwe kwa kushidwa kufanya hivyo, kutapelekea kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Pia napenda niombe jamii kutoa taarifa kwa mamlaka zinazosimamia sheria pale ambapo wanabaini vikundi vya watu, mtu au taasisi zinahamasisha mapenzi ya jinsia moja,” amesema Kigwangalla.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment