Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa amesema jana ameagiza mfanyabiashara huyo anyang’anywe silaha na kufunguliwa mashtaka ya matumizi mabaya.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki eneo la Rongai wilayani Rombo na ofisa huyo alilifyatulia gari hilo risasi mbili ambazo hazikuleta madhara.
Amedai kuwa siku hiyo saa 11:30 jioni, mtuhumiwa huyo akiwa na watu wengine watatu katika gari aina ya Suzuki Escudo, alilifyatulia risasi gari aina ya Mitsubish Canter.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment