Ametoa agizo hilo alipotembelea miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) na kukutana na wananchi waliolalamika kuwa hawana elimu ya kutosha kuhusu umeme.
Profesa Muhongo amesema Serikali imejiwekea malengo kuwa ifikapo mwaka 2020 kila Mtanzania awe anatumia umeme na Serikali kuuza nje ya nchi.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment