Barack Obama Rais wa Marekani ameliambia Gazeti la World News Politics kwamba, kama Trump atashinda uchaguzo ujao wa rais, yeye na familia yake wataondoka Marekani bila ya mapema.
Obama amesema kuwa amejadiliana na mke na watoto wake kuhusu suala hilo la kukubaliana kwenda nje ya Marekani iwapo Trump atashinda kiti cha rais wa nchi hiyo.
Inasemekana kwamba, iwapo ataondoka Marekani, Rais Obama anakusudia kuishi nchini Canada na kwamba tayari maudhui ya kuhama kwa Obama imejadiliwa na Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau.
Matamshi na misimamo ya kushangaza ya mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump imekabiliwa na upinzani mkali ndani na nje ya Marekani.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment