Mwanariadha wa Marekani Even Jager alikuwa wa pili na kujizolea medali ya fedha huku bingwa mara mbili wa michezo ya Olimpiki Ezekiel Kemboi akichukua nafasi ya tatu na kuishindia medali ya shaba Kenya.
Kenya imekuwa ikijishindia medali ya dhahabu katika mbio hiyo tangu mwaka 1994.Kenya imejishindi medali mbili za dhahabu siku ya Jumatano baada ya Faith Kipyegon kuibuka mshindi katika mbio za mita 1,500 upande wa wanawake.
Source: BBC
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment