Akiongea na waandishi wa habari leo jijini,msemaji wa kampuni ya UDART DEUS BUGAYWA,amesema kwa muda mrefu tangu walipozindua huduma ya mabasi hayo,wasafiri waliokuwa wanatumia kadi hizo hawakuwa na eneo jengine la kuongeza fedha katika kadi kwa ajili ya kulipia nauli bali iliwalazimu kufika vituo vya UDART ili kuongeza fedha.
Amesema kwa sasa huduma hiyo ya kuongeza fedha imekabidhiwa kwa mawakala wao waliopo maeneo mbali na vituo vyao ili kuwarahishia uongezaji wa fedha kwenye kadi zao mahala popote.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment