Hatua hiyo imekuja ikiwa miezi michache imepita tangu, kiongozi huyo kuanzisha mfumo wa walimu kusafiri bure kwenye daladala wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari, Makonda alisema walimu watasaifiri bure katika njia za Stesheni-Ubungo Maziwa na Stesheni –Pugu ambako treni zinafanya safari zake.
“Kinachotakiwa ni kuwa na vitambulisho kutoka kwa wakuu wa shule, wakionyesha hakuna atakayewahoji hivyo watasafiri bure,”alisema Makonda.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania, Masanja Kadogosa alisema walimu watasafirishwa kwa nidhamu kubwa
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment