Akifungua semina ya wakuu wa shule zilizofanya vibaya katika mitihani mjini Dodoma ili kutafakari namna bora ya kuepuka hali hiyo, Simbachawene amesema katika maeneo mengi kumeibuka watu wasiokuwa na sifa za ualimu wanaofanya kazi hiyo na wengi wanatumia vyeti bandia.
Pia, amesema kuna walimu wanatumia dawa za kulevya, lakini wanaachwa wakiendelea na kazi hiyo.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment