![]() |
| Mtatiro |
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa CUF, Julius Mtatiro amesema CUF itaendelea kuitafuta haki kwa njia ya kidemokrasia.
“Sisi kama chama tunajua demokrasia ya nchi inapita katika wakati mgumu,lakini sisi kama chama cha siasa ambacho kipo kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, tutazidi kuungana na Watanzania, kuwaongoza watanzania, kuungana na wazalendo na watu wote wanaolipenda taifa hili,” alisema Mtatiro.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment