Kura hizo za nchi nzima zimetolewa Ijumaa hii. Kura za McClatchy-Marist zilionesha kuwa Clinton ana 45% huku Trump akiwa na 39%.
Wiki hii kura za maoni za Wall Street Journal/NBC zilionesha Clinton anaongoza kwa 43% dhidi 37% za mpinzani wake. Clinton anaendelea kuwa na kura nyingi zaidi kutoka kwa wapiga kura weusi akiwa na asilimia 93% na Trumo 3%.
Clinton pia ana wapiga kura wengi walatino kwa asilimia 74% dhidi ya 16% za mpinzani wake.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment