Tukio hilo lililotokea juzi mchana eneo la Bomang’ombe mjini Hai, limezua gumzo maeneo mbalimbali ya mji huo.
Mfungwa huyoalikunywa sumu akiwa mahabusu ya Kituo cha Polisi Bomang’ombe wilayani Hai, muda mfupi baada ya kuwaomba ruhusa askari kwenda chooni kujisaidia.
Chanzo cha habari kilieleza kuwa baada ya kuhukumiwa adhabu hiyo, mfungwa huyo alipelekwa mahabusu ya polisi akisubiri kupelekwa gerezani.
Kwa mujibu wa chanzo hicho, mahabusu walianza kumuona akiugulia maumivu na kutoa taarifa kwa askari mahakamani hapo.
Baada ya kunywa sumu hiyo juzi mchana, mfungwa huyo alipelekwa Hospitali ya Wilaya ya Hai na kufariki dunia jana mchana.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment