Wapo wanaojionesha na wapo pia wale wanaojificha na kueneza maneno ya sumu kwa wananchi kuhusu muheshimiwa rais wetu.
Kwa mtazamo wangu nafikiri hizo pesa nyingi mnazozitumia kwenye kumchafua rais wetu kwenye vyombo vya habari zingetosha sana kuleta maendeleo kwenye majimbo yenu.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment