Kampuni ya Samsung imetaka kurejeshwa kiwandani simu aina ya Galaxy Note 7 baada ya kubaini betri huweza kulipuka wakati wakuchaji.
Samsung wamesema wateja ambao wameshainunua simu hiyo watabadilishiwa kwa hiari na watahakikisha hili jambo halitachukua muda mrefu.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment