Profesa Benno Ndulu. |
Kwa wiki moja sasa kumekuwa na mjadala kuhusu hali ya uchumi, huku wachambuzi na wanasiasa wakielezea hali ya maisha ilivyo ngumu kutokana na fedha kupotea mikononi mwa watu.
Miongoni mwa wanasiasa waliochambua hali ya uchumi ni Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ambaye alisema kuwa kumekuwapo na mdororo wa uchumi ikilinganishwa na mwaka jana.
Pia Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, akiwa bungeni wiki iliyopita, alielezea namna deni la taifa lilivyopanda huku hali ya maisha ikiendelea kuwa ngumu.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment