MALTA: Ndege iliyokuwa imewabeba maafisa wa Umoja wa Ulaya(EU) imepata ajali baada ya kudondoka muda mchache baada ya kupaa.
Maafisa watano wamefariki dunia katika ajali hiyo.
Bado harakati za uokoaji zinaendelea, waokoaji wamesema uwezekano wa kukuta wakiwa bado hai ni mdogo sana.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment