Lengai ole Sabaya |
Akizungumza kwa simu kuhusu mpango wa kuvuliwa uanachama, Sabaya alisema hakuna mwenye mamlaka kisheria ya kufanya hivyo na iwapo hilo litafanyika anasubiri uamuzi huo.
CCM inajipanga kumvua uanachama Sabaya ambaye pia alisimamishwa uenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoani hapa kwa tuhuma za kukiuka maadili.
Hivi karibuni Sabaya alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha na kusomewa mashtaka ya kujifanya ofisa usalama wa Taifa na kughushi kitambulisho cha ofisi hiyo. Yuko nje kwa dhamana.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment