Akaongeza kusema "Unapokuwa mpya watu wanataka mambo mapya pia, lakini yawe mapya ya maendeleo na sio (mapya) ya kuharibu kule tulikotoka" Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Hayo ameyasema jana akihutubia katika kongamano la kuadhimisha miaka 55 ya utoaji elimu chuo kikuu cha Dar(UDSM)
Sisi wanazuoni tumemuelewa Jakaya Kikwete vizuri akiongea kifalsafa zaidi sijui wewe mwenzangu umemsoma? Video:
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment