Feng na wenzake wanadaiwa kusafirisha meno hayo yenye thamani ya Sh5.4 bilioni.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa hayo jana na Mawakili wa Serikali, Paul Kadushi na Faraja Nchimbi.
Imeelezwa kuwa katika usikilizwaji wa kesi hiyo utakaofanyika Novemba 4 na 15 wanatarajia kuita mashahidi wasiopungua tisa.
Washtakiwa wengine ni Salvius Matembo (35)na Manase Philemon (39) ambao wanatetewa na mawakili Masumbuko Lamwai na Nehemia Nkoko.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment