Mchezajia nguli wa soka nchini Argentina, Diego Maradona na Juan Sebastian Veron ambao walikuwa kati ya wacheaji ambao walikuwepo mchezo huo ambao ulifanyika siku ya Jumatano nusra wazichape katika mchezo huo wa hisani uliofanyika jijini Rome, Italia.
Wawili hao walikuwa wakitupiana maneno mpaka kufikia hatua ya kutaka kushikana wakati wakielekea nje ya uwanja wakati wa mapumziko.
Maradona inaonekana hakufurahishwa na jinsi Veron alivyokuwa akimchezea ambapo ilibidi azuiwe na beki wa zamani wa kimataifa wa Brazil Cafu pamoja na watu wa usalama wakati akitaka kwenda kumvaa Veron
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment