Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro baada ya kujifanya Usalama wa Taifa nakumtishia kwa Bastola askari wa usalama barabarani wakati wakielekea kituo kidogo cha polisi kingoluwira, alikotaka apelekwe kuzungumza na mkuu wa kituo baada ya kukamatwa akiwa amezidisha mwendo kasi (Speed)
Tukio hilo limetokea barabara kuu ya Morogoro - Dar es salaam
Chanzo :ITV
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment