Ameyasema hayo Alhamisi hii katika chuo kikuu cha Dar es Salaam wakati akitoa salamu za Rais John Magufuli katika uzinduzi wa hosteli mpya za chuo hicho.
Makonda alisema kuwa ofisi yake itaanza oparesheni hiyo kuondoa magenge ya wahalifu jijini kwakuwa ni changamoto inayoukabili mkoa huo kwa sasa.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment