Tumeitaka Serikali itoe misaada ya Vifaa vya ujenzi na fedha kwa Waathirika watetemeko. Sasa ni Wakati wa sote kwa pamoja kuwaeleza Wananchi kwamba Serikali hisiyo wahudumia Wananchi wake wakati wa Maafa na shida na kwa kutoa HUDUMA zinazo sitahili.
Serikali hiyo inakuwa imejiondolea uhalali wa kuchaguliwa.
Imetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Bukoba
Jenerali Victor Sherejey
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment