Baadhi ya makundi hayo ni ya wafanyabiashara, wanafunzi wa vyuo, wanasiasa, wabunge, watumishi wa umma, vyombo vya habari, wanawake na waathirika wa bomoabomoa eneo la Bonde la Msimbazi.
Katika makundi hayo, yapo yaliyojikuta katika maumivu kutokana na nia njema ya Serikali kuboresha mfumo wa ukusanyaji kodi, kudhibiti mianya ya rushwa na matumizi yasiyokuwa ya lazima lakini yapo yanayolia maumivu kutokana na makosa katika uamuzi usiozingatia sheria na kusababisha athari kubwa katika mfumo mzima wa maisha.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment