Baraka mwenye urefu wa futi 7.4 alipata matatizo ya nyonga Aprili, baada ya kuanguka akiwa nyumbani kwake Mbinga mkoani Ruvuma.
Awali, alipelekwa hospitali ya Peramiho lakini ilishindikana kumtibu na ndipo alihamishiwa Moi ambako nako ilishindikana kutokana na mifupa yake kuwa mirefu kupita kiasi.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment