Takwimu hizo zilizokusanywa na kitengo cha takwimu cha Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, zinaonyesha watoto 26 waliibwa mwaka jana na 18 mwaka huu. Pia, ilibainika kuwa watoto wengi wanaoibiwa, huibwa na wanawake ambao hawajabahatika kuzaa na huwaiba kwa minajili ya kuwalea.
Katika mchanganuo wa takwimu hizo ilibainishwa kuwa watoto wengine huibwa hospitalini na nyumbani na baadhi katika shule.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment