Hii tabia inataka kushamiri kwa shule hizi , na sasa ndio nimegundua kwa nini walimu wanagombania kwenda kusimamia mitihani shule za private, kwa sababu wanajua kuna fedha nyingi za bure zinapatikana huko
Kuna baadhi ya walimu kila mwaka wanasimamia shule hiyo hiyo tu kila mwaka , na kuna baadhi ya mameneja wa shule wanahonga wataaluma ili wawapangie wasimamizi fulani fulani Tunajua ni ngumu kwa mwl kuacha hongo ya mamilioni wakati serikali imempa laki mbili tu
Walimu wenye rekodi ya uadilifu tu ndio wapelekwe kwenye shule za private wakasimamie . Vinginevyo hizi shule ni wizi mtupu.
By Ibesa mau/JF
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment