Waziri huyo kijana aliweza kuzungumza na viongozi wa label hiyo na kuangalia namna ambavyo serikali inaweza kudhibiti wizi wa kazi za wasanii.
Baada ya kumaliza mazungumza hayo, Waziri Nchemba kupitia instagram yake aliandika:
#Wizi wa kazi za wasanii #Jeshi la polisi kuongeza nguvu
Pia alisema kuwa serikali haitasita kuwapa msaada pale watakapokwama na kuhitaji usaidizi wa serikali.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment