Kijana Farid Musa ameanza vyema maisha yake ya soka nchini Hispania baada ya kufanikiwa kuifungia magoli mawili timu yake ya Tenerife B wakati akicheza mechi yake ya kwanza tangu awasili kwenye klabu hiyo.
Fairid alikuwa aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa magoli 2-1 wakati ikichuana na CF Unionviera.
Nyota huyo ambaye amesajiliwa kwa mkopo amepelekwa timu B kwa ajili ya kufundishwa baadhi ya mambo ikiwemo mfumo unaotumiwa na timu yake kabla ya kuanza kuingia kwenye timu ya kwanza.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment