Uamuzi huo umetolewa na Wakili wa Jamhuri kudai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado unaendelea na haujakamilika bado, hivyo hakimu anayeendesha kesi hiyo Hakimu Mkazi Mkuu wa Kisutu, Victoria Nongwa aliutaka upande wa Jamhuri kukamilisha haraka upelelezi wa kesi hiyo ili iweze kusikilizwa tarehe iliyotajwa.
Kwa mujibu wa mtandao huo, Maxence Melo anashtakiwa kwa makosa mawili ikiwemo kuzuia Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao na Kusajili tovuti ya JamiiForum kwa kikoa cha .com badala ya .co.tz jambo ambalo inadaiwa ni kinyume cha sheria.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment