Wabunge hao pamoja na diwani wa kata ya Saranga, Ephreim Kinyafu, diwani wa kata ya Kimanga, Manase Njema pamoja na mfanyabiashara Rafii Juma jana walisomewa maelezo hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashtaka ya kumpiga na kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam (RAS), Theresia Mbando.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:



0 [disqus]:
Post a Comment