Amesema mke wake hakumtukana askari aitwaye Deogratias Mbando bali walipishana. "Nilifuatilia suala hili, walitofautiana tu kauli. Mama hakutukana" alisema. Hata hivyo alisema suala hilo limeisha na asingependa kuendeleza malumbano hayo.
Chanzo: Mtanzania
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
0 [disqus]:
Post a Comment