Hitmaker huyo wa Perfect Combo amekiambia kipindi cha E News cha East Africa TV kuwa Eyez bado ni mmoja wa wasanii wa kundi hilo.
“Lord hajatengwa na bado ni mmoja wa wanafamilia katika kundi letu la Weusi kuna wimbo wa Lord tulikuwa studio tukiuandaa juzi. Watu wanaongea mengi kuhusu ukaribu wetu na Lord kwa sasa ila si mbaya wakituzungumzia kwa kuwa ni sehemu ya maisha yetu,” amesema Joh.
Kundi la Weusi linaundwa na wasanii watano akiwemo Joh makini, Nick wa Pili, G-Nako, Bonta na Lord Eyez.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment