May 9, 2016

KATAVI: Mchungaji Akamatwa na Meno 11 ya Tembo Akiwa 'Ameyahifadhi' Kanisani

Jeshi la Polisi Mkoani Katavi kwa kushirikiana na Askari wa TANAPA wa Hifadhi ya wanyama ya Katavi wamemkamata mchungaji wa Kanisa la Moroviani Kata ya Usevya Tarafa ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele akiwa na mtu mmoja ambao wajina yao yamehifadhiwa wakiwa na meno ya tembo 11 yenye thamani ya shilingi milioni 90 wakiwa wameyahifadhi ndani ya Kanisa.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Damas Nyanda aliwaambia waandishi wa Habari jana ofisini kwake kuwa watuhumiwa hao walikamatwa juzi majira ya saa mbili na nusu katika Kanisa la Moroviani ililoko katika Kijiji cha Usevya.

Alisema Mchungaji huyo wa Kanisa la Moroviani akiwa na mwenzake mmoja ambao majina yao yamehifadhi kwa sababu za kiupelelezi walikamatwa kufuatia taarifa zilizolifikia Jeshi la Polisi na kwa Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi kuwa watu hao wanajihisisha na biashara hara haramu ya meno ya Tembo na wamekuwa wakiyahifadhi ndani ya Kanisa.

Baada ya taarifa hizo polisi na Tanapa walianza kufanya uchunguzi kuhusiana na taarifa hizo walizozita kutoka kwa Raia wema hukusiana na tuhuma za biashara hiyo haramu ya meno ya Tembo.

Kaimu Kamanda Nyanda alieleza ndipo jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Askari wa Tanapa walipoweza kufika katika Kanisa la Moroviani Usevya na kufanya upekuzi ndani ya Kanisa hilo.

Katika upekuzi huo waliweza kukamata meno ya Tembo vipande 11 yenye uzito wa kilogramu 20.3 yenyethamani ya shilingi Milioni 90 yakiwa yamehifadhiwa ndani ya tenga la kubebea mizigo yakiwa yamehifadhiwa ndani ya Kanisa la Moroviani Usevya lililokuwa likiongozwa na mchungaji huyo anaeshikiliwa na Polisi.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi alisema katika matukio mengine mawili tofauti yaliotokea Mei 8 majira ya saa mbili usiku huko Katika maeneo ya Mgolokani Kata ya Sitarike Tarafa ya Nsimbo Wilaya ya Mlele Polisi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Katavi walimkamata mtu mmoja ambae jina lake limehifadhiwa akiwa na jino moja la Tembo ..

Kwa mujibu wa Nyanda mtuhumiwa huyo alikamatwa baada ya Askari kufanya upekuzi ndani ya nyumba yake mtuhumiwa na ndipo walipo weza kukamatwa na jino moja la Tembo likiwa limefifadhiwa ndani ya nyumba yake .

Tukio la pili lilitokea siku hiyo hiyo katika maeneo ya Mgolokani Kata ya Sitalike ambapo mtu mmoja ambae nae jina lake limehifadhiwa kwa ajiri ya upelelezi alikamatwa akiwa na jino moja la Simba akiwa amerihifadhi ndani ya nyumba yake.

Mtuhumiwa alikamatwa baada ya kufanyika upekuzi ndani ya nyumba yeke na ndipo alipokamatwa akiwa na jino moja la samba akiwa amehifadhi ndani ya nyumba yake

Kaimu Kamanda Damas Nyanda alisema watuhumiwa wote waliokamatwa kwenye matukio hayo matatu wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani wakati wowote ili kujibu tuhuma zinawazowakabili.

Ametoa wito kwa wananchi wanaojihusisha kufanya biashara haramu za magendo kama vile uharibifu wa rasilimali za Taifa mfano vitendo vya ujangili uwindaji haramu kuacha mara moja na badala yake wafanya shughuli harali katika kujipatia kipato chao.

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

0 [disqus]:

Post a Comment

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger