Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Jun 9, 2016
Ndani ya CCM hakuna Demokrasia ya kukosoa viongozi, utakosolewa ukimaliza muda wako
Katika Awamu Ya Nne Ya Rais Kikwete Hakuna Mwana Chama Yeyote Aliyejitokeza Adharani Kuikosoa Serikali Yake Zaidi Ya Kusifiwa Kua Mchapakazi, Serikali Sikivu, Amejenga Bara Bara Nyingi, Uchumi Umepanda N.K Hakuna Yeyote Aliyewahi Kujitokeza Kuonesha Mapungufu Yake.. Leo Hii Wale Wale Waliokua Wakimsifia Wanatoa Negative Kwake, Kwann Wasingeyatoa Madukuduku Yao Mapema? Kama Sio Unafiki? Magufuli Ajiandae Kukosolewa Na Wanaomsifia Akimaliza Muda Wake.
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Weka Maoni yako Hapa
0 [disqus]:
Post a Comment