Mtindo huo wa adhabu unajumuisha kumkamata dereva,kumuandikia makosa na kulipa faini na pia kumpoga picha na kuzisambaza mitandaoni ili wahusika waone "uchungu" wa kosa na wengine wajifunze kupitia adhabu hizo
Hii imekuwapo hata kabla ya Rais JPM kutoa pendekezo la askari wa usalama barabarani kukamata magari yanayovunja sheria ya njia za mwendo kasi,kuyapeleka polisi na kufungua magurudumu.
Kikubwa kilichojitokeza ni kuwa wengi wa wavunjaji wa sheria hizo ni "wasomi" na watumishi wa mashirika ya umma na binafsi ambao ilitegemewa ndio wenye uelewa mkubwa na hivyo kuheshimu sheria za barabarani
Hawa ni Baadhi waliokubwa na Adhabu hiyo:
Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
0 [disqus]:
Post a Comment