Jun 3, 2016

Zitto: Simjadili Dr Tulia ni kibaraka, Mdee: Serikali ya Magufuli ni ya kisanii tu!

Wakihojiwa na redio moja mkoani Kagera inakosemekana wataanzia ziara hivi karibuni Zitto amesema hawezi kumjadili naibu spika maana anajua anatumwa. "Huyu simjadili maana najua anatumwa na akiambiwa geuka anageuka, akiambiwa kimbia anakimbia". Alisema yeye anamwambia aliyemtuma apambane na ufisadi na si demokrasia kwani dunia nzima waliogombana na demokrasia wameangukia pua. Amesisitiza ziara inayotarajia kuanza itawazindua watanzania

Mdee: Amesema kiini cha kuzuia matangazo ya moja kwa moja ni kutaka kuwaaminisha kwamba serikali hii ni tukufu kumbe ya kisanii tu. Amewataka watanzania wajitokeze kwa maelfu kwenye mikutano yao ili wadadavuliwe serikali ilivyo ya kidikiteta. "Ndani ya bunge tumeaacha wabunge makini wa kuweza kuibana serikali, nje tuko mashine za kutosha kuiamsha jamii ya watanzania".

Wote wamesema serikali ya Magufuli ina dalili zote za kidikteta na inaliteka bunge makusudi ili kunyamazisha wakosaoji maana huko ndiko Magufuli anaweza kuanikwa. Wamesema madikteta wote hupenda kusifiwa na kuimbiwa nyimbo za kuabudiwa. Walisema

Bonyeza Play Hapa Chini Kuona Walichofanya Bilnass na Rosa Ree:
Soma Hizi Habari Zetu Kirahisi Kupitia Application ya Simu ya Udaku Special, Bonyeza HAPA
Share:
Weka Maoni yako Hapa

2 comments:

  1. NA WEWE UNATUMWA NA NANI POLE SANA ZITO TULIZANI MTU KUMBE KILAZA

    ReplyDelete
  2. Watanzania Msipoamka na kufikiri, kutafakari, kupigania uhuru wenu, kuuondoa ukandamizi, kufuga mafisadi wakuu ambao wameapa hawatatumbuliwa kamwe. Wao ni vigogo ambao wamedanganya toto tu. Kiukweli ni kwamba. Mpaka chanzo kikuu cha cha ufisadi kitumbuliwe, au la kila kile kidogo Magufuli alikipapasa hakina maana. Ardhi ya Wamassai kwa kupitia Maendeleo, mazingira, wamepewa Wazungu ambao kwa manipulation wanasema Tanzania maskini, Wamasai Maskini, lakini wamejiingiza kupitia viongozi wakuu wa nchi hii kuwanyan'ganya Wamasai kama nusu watu. Kama huu si wizi ni nini.Wamasai wamezaliwa Umasaini, wamekaa na wanyama pori kwa miaka yote hii pande kwa pande. Mpaka walipofika Wachina, Wazungu, Waarabu kupitia utawala chini ya CCM wamewanyan'ganya Wamasai maeneo yote ambayo ni vigezo vikuu vya uchumi nchini na kuwakabidhi wazungu, Waarabu, Wachina, na kuleta vifo kwa wanachi kupitia enviromental projects zilizoanzishwa na nchi kuu nane duniani na na kupitia globalization ambako Watanzania, Waafrika hawapo kuchangia huu uhujumu wa njia zote kuu za kiuchumi.Wamasai hawakujua ni nini kinaendelea huko. Wengine walipewa vigari, vijishule, vihospitali na kuchukua maeneo yenye thamani ya matrilion yao.
    Leo mnawawanyima Watanzania wote kufuatilia namna gani Tanzania imeingiliwa bila Watanzania kuhusishwa, kuelewa kinachotendeka mbele yao.Je, Watanzania, au mtanzania yeyote anaweza ruhusiwa kufanya hivi kwenye nchi zao? na kama sio je Kwa nini Waafrika, Watanzania Wauzwe hii karne ya ishirini na moja wakati kuna Wasomi wengi Tanzania. Kwa nini Sheria potofu za Tanzania zinakubalika. Kwa nini viongozi watetezi wanahangaishwa. Nilifikiri CCM itabadilika chini ya Magufuli lakini hakuna kitu. Leo Makanisa yanaanza kujionea Wazi na kupata fursa ya kuzungumza lakini wengi wao wanapewa vijipesa vidogo wanakubali kuwapeleka na kuwauza waumini wao na kuwafunga midomo.What happened?
    Hivi Tanzania ni duni kiakili hivi?
    Vijana wengi hawana mwamko wa kizalendo. Wanababaishwa kama tunavyowaona wasanii wengine wakitumiwa na kijibadili kila kukicha. Tanzania na njia kuu za uchumi karibu aslimia 80 zimeuzwa kipindi hiki cha miaka ishirini bila Watanzania kudhihinisha mauzo haya. Sasa wanashangaa imehuwaje. Tulilala chini ya CCM sababu kila mtu alikuwa hai kuchapua chake mapema. Fikirieni mababu zenu, Fikirieni Mzee Nyerere, Mfikirieni Sokoine mtu wa watu.Nyinyi mmeyakuta matunda yameiva wala hamjui thamani yake.

    ReplyDelete

Follow Us

Popular Posts

Powered by Blogger.

MKRdezign

Blog Archive

Technology

[blogger]
Contact us
Ajirayako.co.tz
E-mail: ajirayako@gmail.com
DISCLAIMER:
This Website |Ajirayako.co.tz| is Not Affiliated In Any Way
With The Companies Whose Vacancies Are Published Here.
AVOID SCAMS
Never Pay to Have Your CV/Application Pushed Forward. Any job vacancy requesting payment for any reason is a scam.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tags

Abdallah Zombe (3) ACT Wazalendo (7) Afande Sele (6) Afya (42) Air Tanzania (11) Ajali (31) Ajira (16) Akson Tulia (4) Alberto Msando (1) Ali Kiba (10) Almaz Ayana (1) Anna Makinda (2) Anthony Lusekelo (1) Arusha (1) Arusha Felix Ntibenda (1) Asha Rose Migiro (2) Askofu Gwajima (6) ATCL (3) Augustine Lyatonga Mrema (4) Aunty Ezekiel (2) Babu Tale (2) Bajeti (1) Bakwata (3) Baletol (1) Bandari (3) Baraka da Prince (2) Bavicha (1) Benjamin Mkapa (1) Benki Kuu Tanzania (1) Bernad Membe (1) Biashara (1) Bodi ya Mikopo (1) Bongo Movies (7) BOT (1) Breaking News (3) Buhari (1) Bungeni (48) Burudani (45) CCM (5) Chadema (20) Charles Kitwanga (3) Chibok (1) Chid Benz (2) Chris Brown (3) Clouds FM (1) CUF (26) Dangote (3) Daniel Ole Njolay (1) Dart (2) David Kafulila (7) Desmond Tutu (2) Diamond Platnumz (18) DJ Fetty (1) Dk. Reginald Mengi (1) Donald Trump (23) Dr Mwaka (1) Dr Mwaka Aacha Vilio Kwa Wagonjwa...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Septemba 30 (1) DR Shein (2) Dr Slaa (4) Dr. Ramadhan Kitwana Dau (1) Edo Kumwembe (1) Edward Lowassa (30) Elimu (75) EPA (1) Escrow (3) Ester Bulaya (9) Faiza Ally (1) Fast Jet (1) Featured (3) Flaviana Matata (1) Freeman Mbowe (31) Fumanizi (1) Gadner (1) George Masaju Masaju (1) Gerald Hando (1) Godbless Lema (31) Godwin Gondwe (1) Halima Mdee (2) Hamad Rashid (1) Harmonize (3) Hillary Clinton (3) Iddi Amini Dadaa (1) Idriss Sultan (2) Iphone (1) Irene Uwoya (1) Ivo Mapunda (1) Jack Wolper (3) Jaji Francis Mutungi (3) Jakaya Kikwete (13) Jambazi (2) James Mbatia (1) January Makamba (1) JB (1) Jecha Salim (1) Jenerali Ulimwengu (1) Jerry Muro (3) Jeshi la Polisi (32) Jobs (1) John Cheyo (1) John Mnyika (3) John Pombe Magufuli (83) Joseph Kabila (2) Josephine Mshumbushi (1) Joshua Nassari (1) Julieth Kairuki (1) Julius Mtatiro (9) Jussa (1) Kamanda Sirro (1) Kenyan News (14) KFC (1) Kicheko (1) Kigwangalla (1) Kilimo (1) Kinana (3) Kitanzi (1) Koffi Olomide (2) Korea (1) Kuliko Jana (1) Leicester City (1) Livingstone Lusinde (1) Lugumi (1) Lulu Michael (1) Maajabu (3) Maalim Seif (14) Madam Rita (1) Madawa ya Kulevya (7) Magazeti (49) Mahakamani (7) Mai Mai (4) Maisha (2) Majambazi (7) Makahaba (1) Makalio Makubwa (1) Makamba (1) Malaika (1) Malezi (1) Mama Salma (1) Man Fongo (2) Man United (1) Mange Kimambi (2) Manji (7) mape (1) Mapenzi (76) Marcus Rashford (1) Mashine ya MRI (1) Matiko (1) Matokeo (3) Mauaji (31) Mauji (2) Mbeya (2) Mbunge Lusinde (1) Mbwana Samatta (8) Mchungaji Anthony Lusekelo (1) Meya wa Kinondoni (1) Michael Shirima (1) Michez (1) Michezo (201) Miss Tanzania (2) Mizengo Pinda (1) Mongela (1) Mr Blue (3) Mrema (7) Mrisho Gambo (3) Mrisho Mpoto (2) Msigwa (2) Mugabe (1) Museven (1) Music (85) Muungano (1) Mwakyembe (2) Mwanafunzi (3) Mwendokasi (1) Mwigulu Nchemba (2) Nape Nnauye (13) Navy Kenzo (1) Nay wa Mitego (2) Ndanda FC (1) Ndugai (1) Necta (3) Nida (1) Nigeria (2) NSSF (1) Nuh Mziwanda (2) Nyerere (1) Obama (9) Ommy Dimpoz (2) Original Comedy (2) Oscar Pistorius (1) Paul Makonda (34) Paul Pogba (2) Pep Guardiola (1) Peter Msigwa (4) Petitman (1) Polisi (4) Pombe (1) Pride (1) Prof Mkumbo (2) Prof. Benno Ndulu (1) Prof. Ibrahim Lipumba (12) Prof. Lipumba (23) Prof. Tibaijuka (3) Profesa Benno Ndulu. (1) Profesa Muhongo (3) Q-Chief (1) Raila Odinga (2) Rais Magufuli (35) Ray C (1) Reginald Mengi (2) Rihanna (1) Robert Mugabe (4) Ruby (5) Rushwa (3) Sadaka (1) Saed Kubenea (3) Saida Karoli (2) Salama Jabir (1) Salum Mwalimu (2) Samia Suluhu (1) Samsung Galaxy (1) Samwel Sitta (5) Sauti Sol (1) SBL (1) Scorpion (3) Serengeti Boys (1) Shamsa Ford (2) Sheikh Abubakar Zubeiry (2) Shibuda (2) Shilole (1) Siasa (1945) Siasa Huru App (3) Siasa za Kenya (1) Simba (1) Slaa (1) Snura (1) South Africa (1) Sudan (1) Sugu (1) Sukari (4) Sumaye (8) Supu ya Pweza (1) Tanesco (9) Tanzia (22) TB Joshua (4) TBS (1) TCRA (5) TCU (4) Technology (3) Tetemeko (13) TFDA (1) Thereza May (1) Thomas Mashali (1) TRA (4) Tundu Lisu (20) Tyrant (1) Ubakaji (4) Uchambuzi (1) Uchawi (1) Uchumi (90) Udaku (46) Udaku Spesho (21) UDSM (1) Ufisadi (2) Ugaidi (6) Uhuru Kenyatta (2) Ujambazi (4) Ujauzito (1) Ukahaba (1) Ukatili (1) Ukawa (11) Ukuta (11) Ummy Mwalimu (1) Urembo (15) Ushirikina (1) Utafiti (2) Utapeli (3) UVCCM (4) Vioja (1) Wastara (1) Watumishi Hewa (1) Waziri Mahiga (2) Waziri Mkuu Majaliwa (18) Wema Sepetu (6) Wiliam Lukuvi (6) Yanga (7) Yaya Toure (1) Zitto Kabwe (33) Zuckerberg Mark (1)

Categories

Advertisement

Main Ad

Facebook

Responsive Ads Here

Featured

Recent

Udaku Special Test

Copyright © Udaku Special Test | Powered by Blogger